'Naona aibu inabidi ninyoe nywele zangu za usoni'

Maelezo ya video, 'Naona aibu inabidi ninyoe nywele zangu za usoni'
'Naona aibu inabidi ninyoe nywele zangu za usoni'

Glory Chinemerem Ibe ambaye amekuwa akiota nywele za uso kama ilivyo kwa wanaume.

Anaelezea jinsi alivyokabiliana na nywele hizo tangu akiwa na umri wa miaka 14 alipoanza kupata hali hiyo.

Anasema amejaribu mbinu kadhaa ya kuzitoa na hata bidhaa mbalimbali katika jitihada zake za kuondoa nywele hizo za uso lakini bila mafanikio.

Bi Glory anasema alikuwa akiona aibu hivyo ilimbidi kuzinyoa mara kwa mara lakini sasa hana wasiwasi wowote kwani ameamua kujiamini na kujipenda jinsi alivyo.